Mkuu hiyo michango ni ya dharura kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tetemeko na wakati tunachanga tuliambiwa hivyo, serikali ina mfuko wa majanga kwanini isitoe huko fedha kujenga hizo miundo mbinu ya serikali achilia mbali kodi tunalipa.
Miaka kadhaa tuliona tetemeko lilitokea HAITI na michango iliyotolewa ilielekezwa kusaidia wahanga na sio kuzijengea barabara wala shule