BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
wamesikia..ila ujue hizi tabia siyo za kiume! Mwanaume rijali hujiweza...hatakiwi kushinda saloon kutwa kukata nywele, kufanya scrub/facial na kuvaa tu.lazima afanye kazi. Ingekuwa "kaka poa" ingeeleweka!
hatutaki kupoteza "wanaume" kwa kuendekeza uvivu tu loh!shame!
lazima kutakuwa na proper name for them....
but definetely sio MEN.....
kama wateja hawapo biashara itakufa hivyo hakuna bishara isiyokuwa na mteja.
Wazaire wamewaambukiza na vijana wetu uzoba
kwa vipi hebu fafanua
Nipe ushahidi Babu DC
So True!
Wababa wakiwa kwenye denial utawaonea huruma.
Men, welcome to the club lol....wake up!
heheheh... male prostitution -
ni kwamba wanaume hawa wanaukana uanaume wao? Wamechoka kuishi kama jamii inavyowategemea kwamba wawe watafutaji, wahongaji, .... baada ya hii what next kabla kiama hakijatukuta?