Mmh.. Kwahiyo huo utafiti unataka kusema humu mitandaoni tunalishana matango pori ama? Daadeki!
Hata hivyo imani itazidi kukua kwa sababu mitandaoni ndipo chimbuko la taarifa nyeti zote kwa sasa.. Tatizo mitandaoni bado kuna fujo sana, vumbi likitulia pataaminika.
Kuhusu Redio hapo ni kweli tupu. Hasa vijijini. Yaani huko redioni ukanjanja unadhibitiwa sana na TCRA wakikunasa unafanya mzaha wanarara na wewe mbere!