beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Sio maneno yangu, ni utafiti..
Kama utakavyosoma kwenye jedwali hapo chini, imebainika kuwa wabongo wengi kwanza kabisa wanaamini sana wanachokisikia kwenye redio.. Kisha wanaamini wanachokiona kwenye TV.
Huko mikutanoni wanaamini kiasi maana washatiwa ndimu sana, kwenye magazeti pia imani imepungua sio kama zamani..
Kimbembe hapa kwenye mitandao... Wanachagua sana nani wa kuamini.. Mfano JamiiForums inaaminika sana.. Mtu anaweza kusoma kitu lakini ili apate uhakika lazima aone kama JF kimeripotiwa au la.. Huo ni mfano!
Kinachochekesha.. Walio wengi wanaamini zaidi wanachoambiwa kuliko wanachokisoma mtandaoni...
Unasemaje?
Kama utakavyosoma kwenye jedwali hapo chini, imebainika kuwa wabongo wengi kwanza kabisa wanaamini sana wanachokisikia kwenye redio.. Kisha wanaamini wanachokiona kwenye TV.
Huko mikutanoni wanaamini kiasi maana washatiwa ndimu sana, kwenye magazeti pia imani imepungua sio kama zamani..
Kimbembe hapa kwenye mitandao... Wanachagua sana nani wa kuamini.. Mfano JamiiForums inaaminika sana.. Mtu anaweza kusoma kitu lakini ili apate uhakika lazima aone kama JF kimeripotiwa au la.. Huo ni mfano!
Kinachochekesha.. Walio wengi wanaamini zaidi wanachoambiwa kuliko wanachokisoma mtandaoni...
Unasemaje?