Kabla ya vyama vya siasa havijaanza mchakato wa kuwapata wagombea wa Urais,Udiwani na Ubunge kulikuwa na wimbo unaosema " Polisi msitupige mabomu Chadema ni Serikali ijayo". Nionavyo mimi huu ndiyo wakati wake mbona haupigwi ktk kampeni
Kabla ya vyama vya siasa havijaanza mchakato wa kuwapata wagombea wa Urais,Udiwani na Ubunge kulikuwa na wimbo unaosema " Polisi msitupige mabomu Chadema ni Serikali ijayo". Nionavyo mimi huu ndiyo wakati wake mbona haupigwi ktk kampeni