UKAWA hali tete


Umejiunga 2011, umepewa likes 2,215 lakini mwenyewe hujatoa like hata moja!
 
Fahari wawili hawakai zizi moja; tangu lini walafi wawili wakala sahani moja? kila mtu anataka amzidi kete mwenzake ili ashibe yeye zaidi.

Hilo ndo tatizo la ukawa, wajipange tena upya kwajili ya uchaguzi wa 2020, saivi wampishe Magufuli tu
 
Ccm ikishinda ntatembea uchi cku nzima,,naapa tena

Bora iwe hivyo "utembee uchi nchi nzima"! Kama yaliyoandikwa ni kweli, UKAWA itakuwa IMESHINDWA, hao unaowashabikia watatoana roho kwa kudaiana. Labda ujiandae pia, siyo kutembea uchi tu, ila pia kulipa madeni waliyojilimbikizia.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Maneno Yenu Kuhusu Ukawa Sio MAPYA!! Tokea Mwaka Jana!! Hivyo Hamna Hoja MPYA!!! Yale Yale Tu!! Yaani Remix!!
 
Maneno Yenu Kuhusu Ukawa Sio MAPYA!! Tokea Mwaka Jana!! Hivyo Hamna Hoja MPYA!!! Yale Yale Tu!! Yaani Remix!!
 
Duh. hii ni kali. Naelekea kuamini taarifa hii. Kuna watu baada ya uchaguzi watapata taabu sana.
 
Yaani jamaa anaongelea mambo ya kugawana hela kana kwamba watu kugawana karanga barabarani!!

Propaganda yenyewe imejichanganya. Kwa sbb umesema mwenyewe mzee Lowassa ana tatizo la kupoteza kumbukumbu. Lakini akakutana na Kagame akapewa "mahela", lakini cha ajabu hakuweza kuyasahau hayo mahela hapohapo alipopewelewa!!...Eeeh, Si ana tatizo la kupoteza kumbukumbu bhana!!?

Na pia kama ana tatizo la kupoteza kumbukumbu basi ingetokea hata siku moja akasahau akaropoka na kumwita Sumaye au Mbowe kama Mr Kagame wakati akihutubia ktk mikutano yake!!

Umeisuka propaganda yako kizembe sana kwa lengo na kuwafarakanisha viongozi wa UKAWA na wafuasi wao, something which is not going to work and may be it's too late!!

Halafu nahisi waandaji wa propaganda hii ni walewale wanaofanya kazi na yule mama makamu mwenyekiti wa NCCR Mageuzi!!

Sidhani kama kuna kizuizi cha mabadiliko kwa sasa kwa kutumia cheap propaganda kama hizi.
 
Nilifikiri kuna jipya kumbe ni yaleyale. Iwe taasisi vyovyote bora taasisi kuliko ccm
 
.
NEC - Wapigaji kura kwa makundi ya miaka:
.
.

[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD="align: center"]Umri[/TD]
[TD="align: center"]idadi[/TD]
[TD="align: center"]asilimia[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18-35[/TD]
[TD="align: center"]12,894,126[/TD]
[TD]56.65%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]36-50[/TD]
[TD="align: center"]5,965,123[/TD]
[TD]25.01%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]50-Above[/TD]
[TD="align: center"]4,126,156[/TD]
[TD]18.28%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]JUMLA[/TD]
[TD="align: center"]22,750,489[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

kwa CCM wanahitaji nusu ya kura za vijana, na robo tatu ya Wazee, ambao ni wana CCM daima, hawawezi kusahau CCM ilipowatoa.

Magufuli anashinda kwa asilimia =
28+25(75%)+18(75%) =
28+18+13 = 59%

mpaka sasa, official POLLS zote zinaonyesha Magufuli kushinda sio chini ya asilimia 60% na hili ni dhahiri hapa.
 
...connecting the dots, ule moto ulioteketeza nyumba ni shauri ya Mungu au kuna mkono wa mtu?
 
Huu uvundo niliusoma tena hapa kama wiki 4 zilizopita
 
SOURCE: Imbeciles Team (IT), Masaki, Dar Es Salaam. THIS IS TOO LOW! SHAME UPON YOU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…