UKAWA bila hawa haiendi?

maswi masero

Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
18
Reaction score
1
Kumekua na malumbano mengi ndani ya umoja wa vyama vinavyounda UKAWA katika uteuzi wa mpeperusha bendera wao katika uchaguzi mkuu ujao, mbaya zaidi malumbano yote huwahusisha viongozi wao wakuu pale ambapo viongozi hao kua na tabia yao ya kutaka wao ndo wawe wateule kuwa wagombea urais.

Swali ni je, Kwani umoja huo hauna mtu mwingine anaeweza kupeperusha bendera ya umoja huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…