Kwa hiyo Hezbola na wao ni Wapalestina?Ndipo waarabu waislam walipo hamia kwa wingi Lebanon
sasaivi tunavyoongea, Iran foreign minister yupo iran anaongea na hezbolah, na israel wameandaa vifaru vingi sana mpakani mwa iran, inaonekana lebanon pia muda si mrefu itakuwa magofu, na kuna uwezekano iran akachapwa pia.Lebanon ilikuwa na idadi kubwa ya Wakristo katika eneo la Mashariki ya Kati na ilipata mafanikio katika maendeleo na uchumi, ingawa haina utajiri wa mafuta na gesi. Ilikuwa inalinganishwa na Paris, lakini bahati mbaya ilikumbana na wimbi kubwa la wakimbizi kutoka Palestina wakati taifa la Israel lilipoanzishwa rasmi na kuwatawanya watu duniani kote. Hii ilisababisha kuhamia kwa idadi kubwa ya Waarabu Waislamu nchini Lebanon na kuongezeka kwa idadi yao kama ilivyo katika nchi za Ulaya.
Vikundi vya kigaidi, kama vile Hezbollah, viliibuka na kuanza kushambulia wakazi wa eneo hilo.
Wengi wa wazawa, yaani Waarabu Wakristo, waliamua kuondoka nchini na kuhamia Ulaya. Hali nchini Lebanon iligeuka kuwa mbaya sana, na uchumi ukadorora huku kukikosekana serikali rasmi. Nchi inayotoa msaada mkubwa kwa utulivu wa nchi ni Iran, nchi inayofuata madhehebu ya Shia.
Tahadhari inahitajika, kwani hali ya usalama inaweza kuwa mbaya.
Hawa ni cancer wa eneo hilosasaivi tunavyoongea, Iran foreign minister yupo iran anaongea na hezbolah, na israel wameandaa vifaru vingi sana mpakani mwa iran, inaonekana lebanon pia muda si mrefu itakuwa magofu, na kuna uwezekano iran akachapwa pia.
Ukiondoa hisia za kibinaadamu Mungu hana sababu za kufanya haya unayoyashangilia hapa.Wanaenda kufutwa na Isarael(Taifa teule la MUNGU wa mbinguni)
Baba mtu USA keshasogeza kambi inayoelea baharini karibu na mwanae, kamwambia Iran kaa mbali.sasaivi tunavyoongea, Iran foreign minister yupo iran anaongea na hezbolah, na israel wameandaa vifaru vingi sana mpakani mwa iran, inaonekana lebanon pia muda si mrefu itakuwa magofu, na kuna uwezekano iran akachapwa pia.
US na UK wote wamesogeza manowari. na dege la silaha limetua sasaivi toka marekani.Baba mtu USA keshasogeza kambi inayoelea baharini karibu na mwanae, kamwambia Iran kaa mbali.
Siku ya jmosi walisherehekea kuua waisrael, leo wanasema Israel inakiuka haki za binaadamu baada ya kuona Gaza ikitafunwa. Wamesahau hii ni vita ileile waliyoianzisha jmosi na kushangilia.
Ni vita ileile ya jmosi si nyingine mpya!!!!@