Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Ukipigwa shavu la kulia mgeuzie hata la kushoto apige. Samehe hata saba mara sabini. AmenAsante kwa ujumbe mzuri huu wa Neno la Mungu, umebariki siku yangu.
BARIKI WALA USILAANI! (Warumi 12:14; Luka 6:28, I kor 4:12,13)
"Wabariki wanaowaudhi, barikini, wala msilaani pia, wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi.
Mtume Paulo akiwaandikia Wakorintho jinsi wao walivyofanya anasema; tukitukanwa twabariki, tukiudhiwa twastahimili; tukisingiziwa twasihi.
Na wewe fanya kama Mtume Paulo ukitukanwa kwa sababu ya kuokoka bariki, ukiudhiwa kwa sababu ya wokovu stahimili au vumilia, ukisingiziwa uongo, jifunze kujibu kwa hekima!
na akikutemea mate mshukuru..,shukuru kwa kila jambo ka CHADEMA
Nahisi ladha ya siasa na dini
BARIKI WALA USILAANI! (Warumi 12:14; Luka 6:28, I kor 4:12,13)
"Wabariki wanaowaudhi, barikini, wala msilaani pia, wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi''.
Mtume Paulo akiwaandikia Wakorintho jinsi wao walivyofanya anasema; "tukitukanwa twabariki, tukiudhiwa twastahimili; tukisingiziwa twasihi''.
Na wewe fanya kama Mtume Paulo ukitukanwa kwa sababu ya kuokoka bariki, ukiudhiwa kwa sababu ya wokovu stahimili au vumilia, ukisingiziwa uongo, jifunze kujibu kwa hekima!