P palvinus dentalis Member Joined Sep 27, 2021 Posts 12 Reaction score 9 Oct 10, 2021 #1 Hello salama wakuu natafuta vijana wenzangu tuunde kikundi kwa ajili ya kufanya shughuli za ufugaji kama Kuku au Nguruwe n.k , kwa walioko mkoani Mbeya ni bora zaidi ."tukiwa na umoja ni rahisi kufanikiwa" karibuni
Hello salama wakuu natafuta vijana wenzangu tuunde kikundi kwa ajili ya kufanya shughuli za ufugaji kama Kuku au Nguruwe n.k , kwa walioko mkoani Mbeya ni bora zaidi ."tukiwa na umoja ni rahisi kufanikiwa" karibuni
Ramon Abbas JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,961 Reaction score 3,919 Oct 10, 2021 #2 Mtaji mnatoa wapi au maneno kwanza?