Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,092
- 11,282
Sawa mrusi wa yombo dovyaKamasi lipi tuliwaambia Russia anawavuta waingie Nato vitani awanyoleshe soma hii Putin kashazeeka lkn ukitasmin mipango ya nchi za West pamoja na iyo marekani Canada wameisogelea sana Russia kitu ambacho ni hatari kwa mustakabari wa Russia kwanini wanasogelea Russia miaka na miaka adi sasa wapo milangoni mwa mipaka ya Russia? So mjue waRussia chini ya PUTIN wameamua kabla Putin kufa au kuacha nchi itawaliwe na mwengine PUTIN kapewa jukum kuondosha kitisho kilicho izunguka Russia miaka kwa miaka wapo tayali kufa waRussia ata 3milion lkn lengo lao litumie nalo ni kuondosha kitisho ichi kilicho kalibu na mipaka yao Wa Russia wanataka kupigania haki yao inch yao mustakbari wao na kizazi chao hii Vita aitoisha adi Russia wajilidhishe sasa akuna kitisho, hii vita aikwepeki ipo tena kubwa sana lkn Russia ndio mshindi,, Wazungu wa Ulaya na USA bado wanakuna vichwa je huu ndio muda wa vita lkn!! upande wa Russia upo wazi wanaitaka hii Vita kuvunja njama zilizoizunguka RUSSIA Russia bado ajaonesha makali yake. Lkn kimbelembele cha West kinaenda kuisha na mustakbari wa Dunia unaenda Badilika soon.
Hata mongolia imeshawahi kuitawala asia na baadhi ya nchi ulaya.
Ottoman empire imeshawahi kutawala eneo kubwa tu kibabe.
Hata roma imeshawahi kutawala dunia.
Acha kutuletea historia uingereza hana chochote cha kumfanya mrusi.
Kadiri unavyopigana vita ndivyo unavyozidi kuwa imara na madhubuti na unapata uzoefu mrusi ana uzoefu na vita.
Wabishi wote wa dunia mrusi kawanyonya kamasi kuanzia napolean bonaparte mpaka adolf hitler.
Nilisoma mahali taarifa ya huyo jamaa, niliishia tu kucheka! Maana unaona kabisa anaitishia nyau Urusi.Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.
View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .
What a joke 😂😂
Hata mimi kipindi nipo la saba nilikua napiga darasa la kwanza mpaka la tatu D,waambie wajikusanye tena kama naweza piga hata watatuVijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?
Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!
Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
JidanganyeUK hawezi kuimudu vita na Russia wanajifariji kama Zelesky na kutegemea NATO
Kama mashoga tukupeleke ukawapige nao?Uingereza ile ya WW1 /2 huwezi ifananisha na hii ya sasa iliyojaza mpaka mashoga jeshini
hata kwetu wapoUingereza ile ya WW1 /2 huwezi ifananisha na hii ya sasa iliyojaza mpaka mashoga jeshini
Kwa hiyo Russia walipanua Germany wakazidi kutamani? Mwisho wakakutwa na umauti?Nawakumbusha watoto wajuzi juzi Russia ni bingwa wa vita,, ktk ile vita y Dunia 11 Wajerman alivamia Russia lkn Russia wakapeleka upinzani kias kidogo kulinda mpaka wataotumia Wajerman kupitia,, lengo la Russia lilikuwa kuwavuta kwenye mitego yao na walijua jesh la mjerman wanatamani kuuchukua mji mkuu w Russia ili wakamwambia .mkuu wao, Russia walikuwa wanawapa upinzan mdogo lkn wenye esabu kubwa ikiwemo kuwasogeza miazi yenye baridi kali sana ambayo uko kwao awajawai ishi nayo Warussia walilidhia au kukubali mji mkuu wao viungani vikachukuliwa na Wajerman lkn waRussia awakushtuka sana vile wanqjua wanataka kufanya nini. Uku Wajerman tamaa ya kuchukua mji mkuu imewaingia kisawasawa uku baridi ya barafu imeanza uku wameonjeshwa viunga vya mji mkuu!!!!!! apo ndipo RUSSIA alianza kuwapeleka kuzimu Wajerman njia zote zakufikishiwa misaada zilitatizwa awezi pitika waliwakatia usambazaji wote Mjerman walipigwa vibaya wengi wakawa mateka na wengi walikufa kwenye barafu sababu ata njia za kurudi walipotea awakuzijua ile barafu ilibadilisha yake maeneo wakajikuta wanaelekea wasipokujua na ukisinzia tu umeganda kifo. au aje mtu akutoe msaidiane ikafika wkt wengi sasa wanatamani kuonana na jesh la Russia wakaombe pooo wawasaidie kuwaifadhi wasife kwa kuganda. Viuma viuma vyao wamevikimbia mana barafu na chuma chuma haaa kikitaitiwa kazi unayo kukitoa ao ndio Russia watu w mbinu kali sasa leo eti eti eti eti unamsikia mtu anakwambia russia anatolewa kamasi au ooohh Ukraine inamshinda !!!!! haaaaaa kashiba vimandavyake anakuja kupumua uku!!
Very true. Kwa sasa wachangiaji wengi NI watoto ambao hawajui chochote. Juzi nimesoma comment moja unasema, China akiitaka Japan, South Korea na Taiwan anaichukua Kwa saa 12 Tu. Kumuuliza zaidi,anasema hata India akwasaidia vita haizidi wiki moja. Wakati nashangaa,nakutana na huyu. Watoto hawa,wanabalaaWatoto wa mwaka 2000s hao,hawajui unyama wa Uingereza kwenye medani ya Vita na fitna.
UK ilikua zamani sio Sasa hivi.Huna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita
Ilikua zamani wewe.Vijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?
Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!
Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
Acheni ujinga. Sasahivi wamejikusanya wote nchi zaidi ya 30 na bado wanambwilambwila ndio aje aweze Uk pakeyake? Hivi mnatumia nini kufikiri? Mavi au?Nilitaka nimjibu kitu kama hicho. UK wako advanced sana katika mbinu na vifaa vya vita
Pia Britain wana Experience kubwa sana ya Vita tangu karne iliyopita kuliko hata Germans, USA na France...wakiitawala dunia
Hata Iran ilipigwa mkwara wa kuvamiwa pale ilipoteka Tanker ya Uingereza mwaka 2019 kama sijakosea.Vita ni pesa uchumi wa Urusi unaingia mara 2 kwa uchumi wa Britain, acheni kuota ndoto, huyu General wa UK sio mpumbavu kama hapo kijiweni mtogole eti hajui Urusi ina uwezo gani akachimba mkwara tu km kimbwa koko cha hapo jalalani kwenu! Mashabiki wa vita mnadhani ni yanga na simba hii
Huyu Putin wa nothkorea kaishiwa Hana kitu hivi madaa 72 badoHata mongolia imeshawahi kuitawala asia na baadhi ya nchi ulaya.
Ottoman empire imeshawahi kutawala eneo kubwa tu kibabe.
Hata roma imeshawahi kutawala dunia.
Acha kutuletea historia uingereza hana chochote cha kumfanya mrusi.
Kadiri unavyopigana vita ndivyo unavyozidi kuwa imara na madhubuti na unapata uzoefu mrusi ana uzoefu na vita.
Wabishi wote wa dunia mrusi kawanyonya kamasi kuanzia napolean bonaparte mpaka adolf hitler.
alichokula Iran pamoja na true promise imeyeyukaHata Iran ilipigwa mkwara wa kuvamiwa pale ilipoteka Tanker ya Uingereza mwaka 2019 kama sijakosea.
Ila je UK iliivamia Iran!?
Na hadi leo tanker haijarudi imepigwa bendera ya Iran.
Mkuu, nimekuona tokea jana nikaamua kukaa kimya kwa vile ulisema unaniheshimu…Huu ushabiki mnao ufanya as if mnashabikia mpira siyo mzuri dada angu..madhara ya hizi vita sisi hatuwezi kuyakwepa..let us be honest. Haipendezi hata kidogo
Russia ni WA pili duniani Kwa jeshi kubwa.GDP ya uingereza ni ngapi kwa sasa kulinganisha na ya Urusi? Na Military position yake ipoje?