Uhitaji wa mbegu ya kuroiler

Joined
Jun 22, 2017
Posts
8
Reaction score
1
Habari za mda huu wadau?. Ninahitaji mbegu ya kuku KUROILER kutoka kwa mfugaji aliepo MWANZA.
 
Nina uhitaji kama wako pia. Ukifanikisha usisite kuleta mrejesho. Mie nahitaji jogoo chotara mwenye afya nzuri kwa ajili ya mbegu. Nahitaji na vifaranga 50 chotara, vyote vipatikane Mwanza.!
 
Nina uhitaji kama wako pia. Ukifanikisha usisite kuleta mrejesho. Mie nahitaji jogoo chotara mwenye afya nzuri kwa ajili ya mbegu. Nahitaji na vifaranga 50 chotara, vyote vipatikane Mwanza.!
Kna mtu anafuga chotara ntakuunganisha nae. Ila izo Kuroiler hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…