Kwa ufupi ni ugonjwa/magonjwa yatokanayo na kujamiiana na mtu haswa kwa mwanamke anakuwa amekaa nayo kwa kipindi kirefu bila kupata matibabu.
Na ukiambiwa una PID ina maana ugonjwa umefikia hatua ambayo ni mbaya na unaweza ukakusababishia ugumba, so inatakiwa kutibu mapema.
NB: PID 99.9% huwapata wanawake.