Ugonjwa wa Empox

Daah uwo ugonjwa ni kisanga sana.
Ni heri ukafika hospital tu ndugu yangu.
Ingawaje watakufungia kwenye chumba cha peke yako na hutaruhusiwa kukaa na mtu asiekuwa na huo ugonjwa.
Lakini Ukiwa hospital utatibiwa kw uangalifu zaidi.
Jibu: hapana hua tunatibu kulingana na symptoms ulizokuja nazo na ulizokuwa nazo mbaka utakapo kaa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…