KiuyaJibu JF-Expert Member Aug 29, 2007 841 175 Mar 25, 2009 #1 Kuna ugonjwa unaowasumbua watumiaji wengi wa simu mara kwa mara;ugonjwa huo unajulikana kwa jina la UVOSI,yaani Ukosefu wa Vocha katika Simu. Hivyo basi,tuma vocha ili ni kutoe katika list hiyo sasa hivi bila kuchelewa.
Kuna ugonjwa unaowasumbua watumiaji wengi wa simu mara kwa mara;ugonjwa huo unajulikana kwa jina la UVOSI,yaani Ukosefu wa Vocha katika Simu. Hivyo basi,tuma vocha ili ni kutoe katika list hiyo sasa hivi bila kuchelewa.