Habari, Hii siku ya tano sasa nikienda kukata gogo kwa choo harufu inayotoka si mchezo, mi mwenyewe nataka kukimbia, utadhani mfereji wa maji machafu. Jamani ni tatizo gani hili!!.
Habari, Hii siku ya tano sasa nikienda kukata gogo kwa choo harufu inayotoka si mchezo, mi mwenyewe nataka kukimbia, utadhani mfereji wa maji machafu. Jamani ni tatizo gani hili!!.