GE2025 Ufunguzi wa kampeni za CCM 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Joined
Aug 22, 2025
Posts
9
Reaction score
2

Siku ya ufunguzi wa kampeni si siku ya kukosa kwani CCM ya mama Samia mgombea urais atakiwasha
Your browser is not able to display this video.
 
Wanachi wote tunaoaswa kufahamu haki zetu kikatiba zikiwemo kushiriki uchaguzi mkuu 2025. Kufautiwa na ufunguzi wa kampeni zitakazo Anza tar 28.08.2025 tu aalikwa wote kufika viwanja vya Tanganyika packers tukamsikilize mgombea wetu katika yake aliyo tuandalia .
 

Attachments

  • IMG-20250826-WA0001.jpg
    201 KB · Views: 19
“Wananchi wa Dar es Salaam, tarehe 28/08/2025 historia mpya itaandikwa. Tukutane Kawe, Tanganyika Packers kushuhudia jambo kubwa ambalo halijawahi kutokea. Usikose, njoo uwe sehemu ya tukio la kipekee litakalotuunganisha na kutushangaza sote.”
#hijawahikutokea
#tuwashangaze
 

Attachments

  • IMG-20250825-WA0999.jpg
    342.4 KB · Views: 14
Wananchi wote tumeelewa dira ya Taifa Ilani ya Taifa.28/8/2025.Tukutane kawe Tukamuone moonbea Rais Samia Suruhu
 

Attachments

  • IMG-20250826-WA0000.jpg
    201 KB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…