essaugervas
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 580
- 281
safi sana mkuuKaka, heka mia mbona ni tone la mvua mkuu, Kwa hakika ardhi bado bure hapa Bongo, mimi nilinunua ekari60 kwa chini ya laki nne, nikaongeza sasa ninazo mia mbili kama na sabini, haijazidi millioni tano!!! Jamaa naona alinunua millioni 10 eka mia, bado cheap. Kama uko serious unataka maeneo wewe tangaza hapa uone watu wanakuelekeza pa kuyapata. KAMATENI MAENEO KABLA WAWEKEZAJI HAWAJAYAGAWANA! Mimi nna project naitaka sana, bado najikusanya na mtaji, nitahitaji eka kama laki moja sehem yenye mto, nahangaikia kianzio tu, IGEMBE SABHO!
Nakubaliana nawe, ukiwekeza kwenye kilimo & ufugaji kwa umakini kuna faida. Hongera sn mkuu.....
Mkuu Upo??
Wana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40 yrs. Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo. Nikaanza kutafuta mashamba. Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda. Kwa wale wanajua Morogoro road, hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya Mikese. Shamba lipo km1.5 toka barabarani. Nilinunua eka 100 mwaka 2011.
Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki. Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012. Nililima eka 2 za tikiti maji, mazao yanastawi si mchezo. Masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi. Pia nikaanzisha mradi wa nguruwe. Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja. Sasa nina nguruwe kama 70 hv. Nilipata changamoto kidogo, nguruwe watatu walikufa. Kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upungufu wa mvua mazao yangu ya vule yamekomaa, nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka 25. Next month nategemea kulima eka kama 70 hivi, nataka kulima mahindi, alizeti, ufuta, mtama na maboga. Vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year. Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti, fuso 2 za tikiti maji. Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa. Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku-design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali, future ipo kwenye kilimo.
Jamaa yuko mbali sana sąsa, nenda insta kwenye page yake ya Malafyale pig farming..Sana labda mdau Malafyale angekuja kutupa status ya project yake baada ya miaka kumi
Hongera sana kwakeJamaa yuko mbali sana sąsa, nenda insta kwenye page yake ya Malafyale pig farming..
Nipe ajira hapo shambaniWana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40 yrs. Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo. Nikaanza kutafuta mashamba. Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda. Kwa wale wanajua Morogoro road, hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya Mikese. Shamba lipo km1.5 toka barabarani. Nilinunua eka 100 mwaka 2011.
Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki. Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012. Nililima eka 2 za tikiti maji, mazao yanastawi si mchezo. Masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi. Pia nikaanzisha mradi wa nguruwe. Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja. Sasa nina nguruwe kama 70 hv. Nilipata changamoto kidogo, nguruwe watatu walikufa. Kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upungufu wa mvua mazao yangu ya vule yamekomaa, nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka 25. Next month nategemea kulima eka kama 70 hivi, nataka kulima mahindi, alizeti, ufuta, mtama na maboga. Vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year. Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti, fuso 2 za tikiti maji. Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa. Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku-design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali, future ipo kwenye kilimo.
Duh Uzi wa miaka kumi iliyopita Toka 06/01/2014 lkn kama wa Leo tarehe 26/08/2024 AtariWana JF,
Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji.
Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40 yrs. Baada ya kujaribu biashara mbalimbali nikagundua kuwa faida zilizopo kwenye kilimo na ufugaji ni kubwa mno especially kama una kamtaji ka kuanzia kapo. Nikaanza kutafuta mashamba. Nikapata kadhaa ila hili la Maseyu ndilo hasa linazaa matunda. Kwa wale wanajua Morogoro road, hicho kijiji kipo baada ya bwawani au km6 kabla ya Mikese. Shamba lipo km1.5 toka barabarani. Nilinunua eka 100 mwaka 2011.
Immediately nikaanza kufyeka na kung'oa visiki. Nikalima eka10 za mahindi na alizeti mwishoni 2012. Nililima eka 2 za tikiti maji, mazao yanastawi si mchezo. Masika ya 2013 nikalima eka 20 za alizeti na mahindi. Pia nikaanzisha mradi wa nguruwe. Nilianza na nguruwe 8 jike na dume mmoja. Sasa nina nguruwe kama 70 hv. Nilipata changamoto kidogo, nguruwe watatu walikufa. Kwa changamoto hizo nimepata uzoefu mkubwa. Mambo mengi kama kuchoma chanjo na kutibu baadhi ya magonjwa naweza kufanya mwenyewe kwa maana madaktari nao ni changamoto.nategemea kuanza kuuza nguruwe wakubwa by April.wadogo nauza though soko lake sio kubwa sana.
Pamoja na upungufu wa mvua mazao yangu ya vule yamekomaa, nna tikiti kama eka10 na mahindi kama eka 25. Next month nategemea kulima eka kama 70 hivi, nataka kulima mahindi, alizeti, ufuta, mtama na maboga. Vyote kwa biashara na chakula ya mifugo yangu.
Nataka niweze kuuza nguruwe 20 kila mwezi by this year. Mwaka jana nimevuna zaidi ya gunia 200 za mahindi na 150 za alizeti, fuso 2 za tikiti maji. Cha zaidi nimetoa ajira kwa vijana kazaa. Tatizo la maji shambani nimetatua last year kwa ku-design bwawa na matank cheap.
Karibuni wajasiriamali, future ipo kwenye kilimo.
Duh Uzi wa miaka kumi iliyopita Toka 06/01/2014 lkn kama wa Leo tarehe 26/08/2024 Atari
Ee Mungu nisaidie na mimi niwe kama wa
Amiin ndo nmeusoma Leo kumbe ni miaka 10 imepita abarikiwe Sana kanipa motisha pia maana napenda kilimo Sana ntajitahidi 2025 uwe mwaka wangu kwenye kilimo na ufugajiDuh Uzi wa miaka kumi iliyopita Toka 06/01/2014 lkn kama wa Leo tarehe 26/08/2024 Atari
Ee Mungu nisaidie na mimi niwe kama wao 🙆
Huku Dodoma kama uko vizuri,kila zao linakubali maji Yako tuu(Kuchimba visima).Mkuu MalafyaleP asante sana kwa ufafanuzi wako na mimi najiandaa mwaka huu lazima niingie kwenye kilimo aise maana hii biashara ya kukaa na kusubiri wengine walime na sisi tununue sio kabisa
tatizo Arusha mashamba ni bei balaa ni bora kutoka nje kabisa ya arusha kuangalia namna ya kuanzisha kilimo
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi wako