Ndugu utaumia bure, wanaotakiwa kushitakiwa ndio hao hao walio na madaraka sasa na hata bungeni wamo zaidi ya 85% ya watuhumiwa, na nchi hii hatuna sera hiyo itakuwa ni kama kuvunja katiba kuwashitaki kwa vile walishazoe kula bila kuulizwa. I submit, thanks.