Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

Yaani wewe ni POPOMA!

Nilitegemea utatoa mfano
Wa aliyekuwa kikokotoo Cha zamani alikuwa anapata ngapi mfano amestaafu na mshahara wa basic 1,500,000

Na huyu wa kikokotoo kipya atapata ngapi
Kwa basic hiyo hiyo...


Halafu uweke pension Kila mwezi
Huyu wa zamani anapata ngapi na huyu wa kikokotoo kipya atapata ngapi
Kwa muda Gani..

Vinginevyo wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine...
Kwa kifupi wewe ni lipumbavu lenye uwezo wa kutumia mtandao
 

Kwani hawajui kwamba sio mtaji,unaleta mawazo miaka ya 1960's nowadays watu wanafanyabiadhara wakiwa kwenye ajira,Kuna watu wanastaafu wakiwa na nguvu,wanataka kuongezeka pensheni zao kwenye investment zao Kwa ajili ya familia zao ww unawapangia Nn wafanye na pesa zao?
 
Hio sio Pensheni waweke pesa Benki na hapo kutakuwa wala hakuna ulazima kwenye Sheria mwajiri wako kukuongezea hizo asilimia za ziada...

Narudia tena pensheni zilianzishwa kama Social Security na Sio Mtaji kwahio hawa unaosema wapo kwenye ajira na wanafanya biashara kuna mifuko tofauti ambayo wanaweza kuweka ambao wakitaka pesa zao wanaweza kupewa zote bila mfuko kuharibika / kufa...

Cha maana na kigezo ambacho kina-make sense ni watu kulalamika kwamba mtu anachopata kila mwezi hakikidhi mahitaji na wengine watakaokuja kesho watakuwa sio pensionable...; lakini issue ya kila mtu apewe chake chote sio sustainable
 
 
Maelezo meengi! Halafu ni ujinga tu. Unafikiri jamii forums imejaa vilaza kama hao mnao wadanganya huko mtaani!!

Sababu ya hiyo mifuko kuishiwa hela ni kwa sababu ya wastaafu kulipwa pesa zao kwa kikokotoo cha awali, au ni kwa sababu hizo fedha zao mlikuwa mnazinafuja hovyo?

Ni kwa nini nyinyi wafanyakazi wa hiyo mifuko mnakopeshana mabilioni ya fedha za wastaafu, tena bila ya riba! Halafu hamzirejeshi kwa wakati? Kwa nini msiende kukopa benki kama ilivyo kwa wananchi wengine?

Kwa nini mnachukua fedha za wastaafu na kujengea miradi hewa? Kwa nini mnaruhusu serikali kuchukua hizo hela na kufanyia shughuli nyingine?

Kama hicho kikokotoo chenu kina tija; kwa nini hakiwahusu Wabunge na vigogo wengine wa ngazi za juu!! Au wao ndiyo wana uwezo mkubwa wa kutunza fedha zao hata baada ya kustaafu? Halafu ni nani aliyewapa mamlaka ya kumpangia matumizi ya fedha zake kama siyo kuendekeza wizi tu.

Hopeless kabisa wewe.
 
Ungeweka mifano halisi kwa mfano ungesema mtu aliyepata mzigo wa 400m kwa formula ya zamani mtu uyo kwa formula mpya anapata 100m

au yule aliyepata 200m kwa formula ya kale saivi anapata 50m ivo ungeelewa kirahisi na baada ya apo ungeongezea tu kusema sababu ya izo tofauti
 
Sijaona kosa la watumishi lililopelekea wapewe kikokotoo hicho. Hivi mimi nikistaafu nikapewa 400M zangu zote tatizo liko wapi?

Kwani hizo fedha za kununulia V8 mabilioni kwa mabilioni zinapatikanaje halafu za wasitaafu zinakosekana?

Jawabu zuri ambalo halina utata ni kwamba kipaumbele cha serikali ni kutengeneza masikini wengi na kuua wasitaafu kwa msongo wa mawazo ili fedha zao walizozitumikia zibaki huko mzichukue mkanywee juice ilihali ndugu wa wasitaafu wazisotee pasipo mafanikio.
 
Siyo sustainable kwa nani kati ya msitaafu na mfuko?
 
Siyo sustainable kwa nani kati ya msitaafu na mfuko?
Kwa mfuko kusema kwamba makusanyo inakusanya na kila mtu akitaka chake anapewa chote palepale; je kuna wanaobaki kupewa mwezi kwa mwezi inakuwaje ?

Na vijana wakitoka ili wapewe chao kwa bahati mbaya pesa hio ikapotea huoni kwamba dhima nzima ya huu mfuko (kuhakikisha wanapata pesa uzeeni kila mwezi mpaka kifo chao inakuwa haina maana tena) ?

Point ni kwamba hili la mtu kuweza kuchukua chake saa yoyote tena chote kuna investment funds tofauti ambazo mtu anaweza kuweka..., lakini investment hio hatuwezi kuita Pensheni..., unless hatuoni tena faida ya kuhakikisha wazee, uzeeni wanapata blanket ya kuwakinga wakiwa hai mpaka siku wanakufa...

Hoja ya muhimu ni vipi wanaweza kuongezewa wanachopata kiweze kukidhi maisha yao ya kila siku....; Na hoja ya muhimu zaidi ni tunafanye kuhusu kesho ya hawa wengi ambao sio pensionable ?
 
Kwani wak
Kwani wakipewa fedha zao zote hawawezi kuendelea kuwa nazo mpaka pale umauti utakapo wakuta?

Umesema habari za mfuko kukosa uwezo wa kuendelea kujiendesha,kwani muanzolishi wa huo mfuko ni mtumishi?

Aliyeuanzisha huo mfuko matarajio yake ilikuwa ni yapi na sasa anapata nini?
 
Watu wapewe chao,wafe wasife wapewe chao watajijuwa kwanza matumizi ya pensheni kwa mstaafu hayana hasara kwa serikali.Na kama kikokotoo ni kizuri kitumike Kwa watu wote kuanzia serikali kuu hadi serikali za mitaa,wanaolipwa kutokana na Kodi zetu.
Watakupiga mawe mkuu.

Kwa kusema wao wana wajali sana wanyonge
 
Sijaona ufafanuzi wowote uliotolewa hapa, zaidi ya kuwatukana wanaotaka kulipwa pesa yote. Ukipata nafasi pia tueleze kwanini serkali inakopa kwenye hii mifuko na hairejeshi kama ulivotupa mfano wa PSPF
Hakuna pesa inayo baki kwenye mfuko baada ya mstaafu, kulipwa kiinua mgongo. Tafuta contribution statement ya mstaafu angalia alicho lipwa Vs Contribution statement.
 
Hakuna pesa inayo baki kwenye mfuko baada ya mstaafu, kulipwa kiinua mgongo. Tafuta contribution statement ya mstaafu angalia alicho lipwa Vs Contribution statement.
 
Umetumwa?

Ukishiba unajaamba sana

Wapeni fedha zao zote...roho mbaya tu.....nakibunda changu hapo NSSF isinge kuwa kujiongeza kupiga madebe Goma ningekukwa Lamadi majarubani
Hakuna pesa inayo baki kwenye mfuko baada ya mstaafu, kulipwa kiinua mgongo. Tafuta contribution statement ya mstaafu angalia alicho lipwa Vs Contribution statement.
 
Hakuna pesa inayo baki kwenye mfuko baada ya mstaafu, kulipwa kiinua mgongo. Tafuta contribution statement ya mstaafu angalia alicho lipwa Vs Contribution statement.
 
Kwamba mstaafu akishalipwa kiinua mgongo cha mkupuo, huwa habakizi kitu.
Anayolipwa kila mwezi faida ya uwekezaji?
Uko sahihi,
Hakuna pesa inayo baki kwenye mfuko baada ya mstaafu, kulipwa kiinua mgongo. Tafuta contribution statement ya mstaafu angalia alicho lipwa Vs Contribution statement.
 
Watu wapewe chao,wafe wasife wapewe chao watajijuwa kwanza matumizi ya pensheni kwa mstaafu hayana hasara kwa serikali.Na kama kikokotoo ni kizuri kitumike Kwa watu wote kuanzia serikali kuu hadi serikali za mitaa,wanaolipwa kutokana na Kodi zetu.
Chao wamesha pewa kwenye kiinua mgongo, kilicho baki kinatoka kwenye mfuko kama faida ya uwekezaji wa alicho changia, hakuna pesa inayo baki kwenye mfuko ya mwanachama baada ya kulipwa kiinua mgongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…