Geofrey_GAMS
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 496
- 229
Naona wasomi mnachambuana vilivyo, sisi huku kwetu hata neno "chuo" ni msamiati mgumu sana kijiji kizima. Ukiuliza msomi ni nani utaambulia kutajiwa vijana "tuliohitimu" kidato cha nne ktk shule za upili zilizoanza kujengwa kwa amri ya mzee Ngoyayi.
Wasomi wetu tangu wapate astashahada na shahada zao hawajawahi kujikomboa kutokana na utumwa wa kisiasa uliotamalaki nchini petu.
Wasomi wetu pia pamoja na tafiti zao sijawahi kusikia wameweza kutatua tatizo la umasikini, ajira na huduma za jamii kama maji, umeme na afya.
Heri yao wasomi, sina mengi ila najiuliza ni kwa nini wasomi warumbanie majina ya vyuo badala ya kupanga mipango ya kuleta maendeleo ktk familia, jamii na hata taifa kwa ujumla?
Namm ndo huwa mara zote nashangaa, umeongea point sana mkuu... Mbaya zaidi wasomi wasikuhizi akili zao zinawaza kuajiriwa tu na hii ndo sababu tatizo la umaskini linazidi kuwa kubwa
vijana bishaneni nani anasoma chuo kizuri au cha kata mkimaliza mje kwenye usahili tuwape kazi....
Msiwe kama mkuu wa kaya aliyepata G.P.A ya 2.1
Vilaza huwa wanajipa moyo kusema UDSM ni chuo cha kata kwasababu vilaza huwa hawachaguliwi UDSM, so kijana ww soma hukohuko ulipo tuache tunaopata DIVISION ONE na UDSM yetu, ww na kathree kako soma huko ulipo. But the truth will stand kwamba kibongobongo ukizungumzia CHUO KIKUU unazungumzia MLIMANI
Acha upuuzi,,wewe ndo mavi.
Hapo sio kweli, nimekuwa katika hicho chuo kwa miaka minne na sijawahi kukumbwa na hayo uanyoyadai. Nahudhuria mihadhara na semina (karibu zote), najisomea kwa muda wa saa moja kila siku hivyo sina haja ya kuwa na wasiwasi. Nadhani na wengine wanaofuata mfumo huu hawana shida, nimefanya mitihani ya kitaifa mara kadhaa maishani mwangu, nadhani ile ina presha kuliko maksi sitini za hiki chuo cha kuzalisha wasomi ma.vi.
Nyie ndo mlopata degree kwa migongo ya watu kaz kuhonga tu.....wanaume wa kweli laZima wamestrugle