Chuo cha kata.
Vilaza huwa wanajipa moyo kusema UDSM ni chuo cha kata kwasababu vilaza huwa hawachaguliwi UDSM, so kijana ww soma hukohuko ulipo tuache tunaopata DIVISION ONE na UDSM yetu, ww na kathree kako soma huko ulipo. But the truth will stand kwamba kibongobongo ukizungumzia CHUO KIKUU unazungumzia MLIMANI
UMEUA mwanangu G ,mchz mpaka ameogopa mwenyewe na concept ulompatia
vijana bishaneni nani anasoma chuo kizuri au cha kata mkimaliza mje kwenye usahili tuwape kazi....
Habari zenu wakuu, Zikiwa zimesalia takribani wiki mbili hivi watu kumalizia test two zao ili wapate course work nakuingia UE, inayoanza mnamo tar 23 JUNE - 4 JULY ,kipindi hiki huwa nikigumu sana kwetu sisi wanafunzi wa UDSM kwa maandalizi , kwani ni kipindi cha shida na mateso,pale ambapo course work zisiposoma vizuri,incomplete nying, carry over, ambazo huwafanya watu wawe katka hali isiyo ya kawaida ( kupaniki) .
Jaman inabidi tu mtu u struggle ili Ue upate kuchomoka au kutoka.Kwa sababu haya ndio matokeo yetu ya mwisho wa muhula (SEMISTER) na huwayanapandisha na kushusha GPA so jamani struggle is very important tu hata ukiingia na course work ndogo ukikazana possibilty ya kupata A au B+ inakuepo,Lengo letu ni kutaka kuondokana na hii SEPTEMBER CONFERENCE,Kwni inaumiza ,wenzio wako nyumbani alafu wewe unakuja chuo ku sapua so bored sana, kitu kingne tuwecare na vitu vyetu mfano simu, laptop,tablets na vitu vingne vya kusomea kwanikipindi hiki wizi na uvamizi ni mwingi sana pia unavoenda kusoma mf yombo kule ni vizuri atleast muwe wengi kiusalama zaidi.
WISHiING YOU NICE PREPARATION UD.
Hapo sio kweli, nimekuwa katika hicho chuo kwa miaka minne na sijawahi kukumbwa na hayo uanyoyadai. Nahudhuria mihadhara na semina (karibu zote), najisomea kwa muda wa saa moja kila siku hivyo sina haja ya kuwa na wasiwasi. Nadhani na wengine wanaofuata mfumo huu hawana shida, nimefanya mitihani ya kitaifa mara kadhaa maishani mwangu, nadhani ile ina presha kuliko maksi sitini za hiki chuo cha kuzalisha wasomi ma.vi.
you mean preparation ?
vijana bishaneni nani anasoma chuo kizuri au cha kata mkimaliza mje kwenye usahili tuwape kazi....
Hapo sio kweli, nimekuwa katika hicho chuo kwa miaka minne na sijawahi kukumbwa na hayo uanyoyadai. Nahudhuria mihadhara na semina (karibu zote), najisomea kwa muda wa saa moja kila siku hivyo sina haja ya kuwa na wasiwasi. Nadhani na wengine wanaofuata mfumo huu hawana shida, nimefanya mitihani ya kitaifa mara kadhaa maishani mwangu, nadhani ile ina presha kuliko maksi sitini za hiki chuo cha kuzalisha wasomi ma.vi.