Decree Holder JF-Expert Member Joined Jul 19, 2015 Posts 2,559 Reaction score 3,747 Oct 13, 2016 #21 Pengine kuna third selection
S sime Senior Member Joined Jul 14, 2016 Posts 146 Reaction score 86 Oct 13, 2016 #22 mukide95 said: TCU wamenichagua UDOM ila kwenye majina ya round ya pili jina langu halipo sasa apa inakuajeee?? Click to expand... Majina ya kwenye link ni Provisional_results yaani matokeo ya awali yanayoonyesha wapi Tcu wamekupendekeza sasa senate ya chuo husika ndiyo wanachambua yupi wamchukua au kumuacha, ushauri wangu wasiliana na Tcu wenyewe mapema wiki hii
mukide95 said: TCU wamenichagua UDOM ila kwenye majina ya round ya pili jina langu halipo sasa apa inakuajeee?? Click to expand... Majina ya kwenye link ni Provisional_results yaani matokeo ya awali yanayoonyesha wapi Tcu wamekupendekeza sasa senate ya chuo husika ndiyo wanachambua yupi wamchukua au kumuacha, ushauri wangu wasiliana na Tcu wenyewe mapema wiki hii