Watu wanakuwa maskini siyo sababu hawana ndoto hapana, kwasababu wanakuwa na ndoto ila ya vitu vidogo vidogo na pia wanafanikiwa kuvitimiza na wanabakia masikini milele.
Watanzania hapo ndipo tunapoanguka karne ya 21 mtu mzima unawaza choo, hatari sana hii
Ili ufanikiwe duniani lazima uwe ndoto na mawazo ya vitu vikubwa, tunatakiwa tubadili mfumo wetu wa kufikiri