Ubuyu Wa zanzibar unapatikana

Ubuyu Wa zanzibar unapatikana

keytte

Member
Joined
Apr 18, 2012
Posts
21
Reaction score
4
Kwa wale wapenzi Wa Ubuyu Wa Zanzibar wenye utamu Wa kipeee unapatikana kwa shilingi 1000 tu kwa paketi. Ukihitaji kuletewa kwa wale ambao wapo dar... delivery cost/gharama ya kuletewa ni Tshs 3000. Mikoani pia tunatuma gharama ya kusafirishia italipwa na mteja . Kwa mawasiliano tupigie 0685091891. Karibuni sana.
 
Kwa bei ya jumla ni sh ngap, endapo nataka kuufanyia biashara? Nipo tegeta.
 
Tunapatikana kijitonyama Mtaa Wa bukoba. Kwa mama mulo. Karibu sana
 
Hii ni bei ya jumla. Asante na karibu sana

naam wakubwa, kwa maeneo niliyopo wengi huwa wanahitaji wa sh 500 sasa sijajua pakiti yenu ni kubwa kiasi gan kuweza kutoa faida, au hiyo paketi kwa rejareja ni bei gan?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom