Jamani nakiomba sana chama changu cha Mapinduzi, haswa ngazi ya Mkoa wa Mara, watuongezee nguvu jimbo la Serengeti maana hawa Ukawa wanatusumbua sumbua ila naimani tutashinda, haswa kama tutapata support ya kutosha kutoka makao makuu naimani mpo humu na ujumbe utafika.
Kaka itabidi mujitahidi hivyohivyo , hata huku Bunda Hali Mbaya Sana, kale kabinti kanang'ang'ania Jimbo, Na haya majimbo mengine ya mkoa wa mara, yamekuwa magumu, sasa Mujitahidi kukomaa ikiwezekana hata Nyumba kwa Nyumba, au kitanda kwa kitanda.
Pole mkuu Kilio cha mti, nadhani wamekuwa wengi hapo Serengeti, na hivo wamesaidia wanamabadiliko kwenda mbele. Nadhani msaada uliokuwa unautaka kutoka mkoani haukuupata au haukufika kwa wakati. Pole saana wakati mwingine usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho.