Ualimu ni wito. Cheki huyu hapa......

Ndetanyau

Member
Joined
Dec 8, 2012
Posts
37
Reaction score
4
Mwl katunga mtihani, wakati wa kusahisha kajisahau akaacha making scheme katikati ya karatasi za wanafunzi. Baadaye kaamua kutunga nyingine, baada ya kuendelea kusahisha, kasahisha mpaka ile making scheme ya mwanzo na kaijaza maksi. Eti 70%, kaanza kuonyesha walimu wenzake akidai kwamba ndo mwanafunzi wa kwanza. Mwl m1 kamuuliza 'ni nani huyo jina lake? Ticha ndo anashtuka ni yy mwnyw kajisahisha. Hiyo ni noma jamani. Teacher without content knowledge. Mh big up 2teachers.
 
Alinunua cheti huyo ticha not by professional

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ana stress hajapata mshahara na madai yake mengine
 

making=marking
 

Ili uitwe mwalimu lazima uwe na kitu kinaitwa PCK, kinyume na hapo ni majanga tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…