Fursakibao JF-Expert Member Dec 12, 2017 6,682 11,129 Apr 6, 2019 #21 MakinikiA said: marekani naushirika wao wa NATO waliingia iraq, libya bila kibali cha UN hii sababu tosha nao kushitakiwa jambo ambalo hawalitaki kamwe Click to expand... Tatizo sio wanachama na huyo bidada alikuwa ameomba wajiunge ili washitakiwe
MakinikiA said: marekani naushirika wao wa NATO waliingia iraq, libya bila kibali cha UN hii sababu tosha nao kushitakiwa jambo ambalo hawalitaki kamwe Click to expand... Tatizo sio wanachama na huyo bidada alikuwa ameomba wajiunge ili washitakiwe
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,506 142,294 Apr 6, 2019 #22 Mbona inafahamika kwamba kwa asilimia zote vikosi vya ugaidi vinafadhiliwa na Marekani kwa maslahi yao... Cc: mahondaw
Mbona inafahamika kwamba kwa asilimia zote vikosi vya ugaidi vinafadhiliwa na Marekani kwa maslahi yao... Cc: mahondaw
B Babu Kivu JF-Expert Member May 7, 2013 432 299 Apr 6, 2019 #23 Mwanasheria wetu nguli hajasema kitu? Sent using Jamii Forums mobile app
Naby Keita JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,716 15,279 Apr 7, 2019 #24 Erythrocyte said: Unataka nini ? Click to expand... ushuhudie demokrasia ya mabwana zenu mnaowalilia kila siku
Erythrocyte said: Unataka nini ? Click to expand... ushuhudie demokrasia ya mabwana zenu mnaowalilia kila siku