black chinese
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,148
- 1,229
Tcl 250 unachukua???Mimi nauza T C L 32" used...iko ktk hali nzuri sana...
Nauza 350000
Kwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia tutahongea.
Viko mkuranga... kwa maelezo zaidi ikiwamo pictures nifate watsap kwa 0687 089980....
Nawasilisha.
Amehamia Segerea baada ya kukata kiu na binti wa miaka 12..Mkuu umenikumbusha miaka ya 2002....kuna jamaa alikuwa anaonyesha mapicha hapo mkuranga mjini anaitwa Ngutu, hivi bado yupo??
Maisha ndivyo yalivyoo daaaaAmehamia Segerea baada ya kukata kiu na binti wa miaka 12..
Amehamia Segerea baada ya kukata kiu na binti wa miaka 12..
Duh, lakini akili zao kama zilikuwa sio timamu ule ukoo wa Ngutu
Shwari...niaje?Vp mkuu
Niko na 70 mkuuKwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia tutahongea.
Viko mkuranga... kwa maelezo zaidi ikiwamo pictures nifate watsap kwa 0687 089980....
Nawasilisha.
Picha mkuu plzMimi nauza T C L 32" used...iko ktk hali nzuri sana...
Nauza 350000
Kwa tv peke yake au??!!..Niko na 70 mkuu
Tv pekee kula 50.....niko kongowe now niifuate sasa hivi.Kwa tv peke yake au??!!..
Kama jioni hii njoo fasta...Tv pekee kula 50.....niko kongowe now niifuate sasa hivi.
Ongeza iwe 320 mkuu...tv bado iko poa sana.Tcl 250 unachukua???
270 mkuu....kabla sijachukua hili chogo la black chinese.Ongeza iwe 320 mkuu...tv bado iko poa sana.