Wazo zuri sana mkuu.
Yaani inaboa sana kuangalia BBC, CNN n.k na kuona wanavoitangaza Africa kwa mabaya yake tu. Njaa, magonjwa, maisha duni, vita n.k. Kana kwamba hawaoni the positive side of things. It sucks, really!
Tutakapokua na PATV itatusaidia kuwaonesha kua tunayo pia mambo mazuri kwetu.
Ni hayo tu.