Maji Chai
JF-Expert Member
- Dec 8, 2018
- 246
- 323
Habari wana JF
Nlikuwa napata bia zangu mbili tatu baada ya kuwahi kutoka kazini leo,sijui yale yalikuwa ni wazo ya bia au zilikua akili zangu timamu.
Nmemkumbuka sana dem wangu wa darasa la tano, asee kilikuwa kitoto flan hivi kiblack beauty, kizuri hasa kiasi kwamba hadi walimu wakawa wanakitamani, nadhan mi ndo nlikuwa mtu pekee nliyekua na uwezo wa kwenda kucheza naye mpka kwao ila kosa nalojutia mpka leo ni kutomwambia nampenda na tangu wahamie nadhani Dodoma mpka leo sijawahi tena kumwona namkumbuka sana.
Au nyinyi hili la kumiss wale wapenzi wenu wa primary haiwakuti?
Nlikuwa napata bia zangu mbili tatu baada ya kuwahi kutoka kazini leo,sijui yale yalikuwa ni wazo ya bia au zilikua akili zangu timamu.
Nmemkumbuka sana dem wangu wa darasa la tano, asee kilikuwa kitoto flan hivi kiblack beauty, kizuri hasa kiasi kwamba hadi walimu wakawa wanakitamani, nadhan mi ndo nlikuwa mtu pekee nliyekua na uwezo wa kwenda kucheza naye mpka kwao ila kosa nalojutia mpka leo ni kutomwambia nampenda na tangu wahamie nadhani Dodoma mpka leo sijawahi tena kumwona namkumbuka sana.
Au nyinyi hili la kumiss wale wapenzi wenu wa primary haiwakuti?