Mimi nafikiri SISIEM haina shida ila hao wanachama wabovu na wasio na uwezo wa kuongoza ndio wanaoleta shida,.....Kinachotakiwa wale wanaojiamini ni wasafi na wanawajua watu wenye uwezo wawashinikize wakiokoe chama!Hizi sisasa za kushibisha matumbo zitatumaliza