Tusaidiane jaman

Neyjerry

Member
Jun 12, 2012
82
15
Kuna a frnd of mine alilala na mwanaume wakat yupo ktk cku zake za hatar, lakn aliwah kumzuia yule mwanaume so hakupiz(hakumwaga).. Kinachomtia hofu alitakiwa ableed tar 13 na mpka leo bdo hajableed, iz it pocble she z pregnant!? Au kuna sababu gan nyngne zinazoweza fanya msichana achelewe kubleed?
 
Kwa kweli hapo tungojee Madaktari waje waseme yao ila kama akiwa ana mimba ananikumbusha methali hz
1.Ujanja mwingi mbele kiza
2.siku za mwizi 39 ya Arobaini amekamatwa
3.Ndege mjanja hunasa katika tundu bovu
 
Kuna a frnd of mine alilala na mwanaume wakat yupo ktk cku zake za hatar, lakn aliwah kumzuia yule mwanaume so hakupiz(hakumwaga).. Kinachomtia hofu alitakiwa ableed tar 13 na mpka leo bdo hajableed, iz it pocble she z pregnant!? Au kuna sababu gan nyngne zinazoweza fanya msichana achelewe kubleed?

Uhakika zaidi akapime UPT, hiki kipimo ndicho kitampa majibu.
 
sa kama hakumnwaga atapatje mimba?au kanywa kwenye maji?
 
Kuna a frnd of mine alilala na mwanaume wakat yupo ktk cku zake za hatar, lakn aliwah kumzuia yule mwanaume so hakupiz(hakumwaga).. Kinachomtia hofu alitakiwa ableed tar 13 na mpka leo bdo hajableed, iz it pocble she z pregnant!? Au kuna sababu gan nyngne zinazoweza fanya msichana achelewe kubleed?




hilo swala liko mahakamani oooh no! Sory nilifkiri naangalia bunge!
Loading.........
Searchin..........0%
net complete ...!!!|||
nimekumbuka ngoja dr athibitishe!
 
Inawezekana ukawa nayo au hapana.Nilishawahi kujidanganya hivyo kitu kikamea kukawa hakuna ujanja ikabidi azae. Nenda ukapime kwa uhakika zaidi.
 
Inawezekana alimwaga nje lkn kuna zilizobaki kama waliendelea lzm k2 kimemea.
Anunue UPT ajipime.
 
Back
Top Bottom