Kuna a frnd of mine alilala na mwanaume wakat yupo ktk cku zake za hatar, lakn aliwah kumzuia yule mwanaume so hakupiz(hakumwaga).. Kinachomtia hofu alitakiwa ableed tar 13 na mpka leo bdo hajableed, iz it pocble she z pregnant!? Au kuna sababu gan nyngne zinazoweza fanya msichana achelewe kubleed?