BongeMwepesi
Senior Member
- Aug 13, 2013
- 125
- 83
Pamoja na matatizo yenu yote,tunawapenda sababu mu warembo na mnakonga mioyo yetu na ni furaha zetu,mnajua kutucare sana ,hata tukiwakosea mara zote mmekuwa wakwanza kutusamehe,kwa kweli nyie ni maua ambayo kama isemavyo nyumba bila mwanamke basi sio nyumba.basi mjitahidi kubehave basi lol.
hayajakupata wewe, just wait ujionee usiyoyajua
Umeona leo ijumaa ndio unaanza kujikomba,mbona j3 hukusema hivo?
Pamoja na matatizo yenu yote,tunawapenda sababu mu warembo na mnakonga mioyo yetu na ni furaha zetu,mnajua kutucare sana ,hata tukiwakosea mara zote mmekuwa wakwanza kutusamehe,kwa kweli nyie ni maua ambayo kama isemavyo nyumba bila mwanamke basi sio nyumba.basi mjitahidi kubehave basi lol.
anaogopa kunyimwa dudu weee j3 mbali ujue!!!
Pamoja na matatizo yenu yote,tunawapenda sababu mu warembo na mnakonga mioyo yetu na ni furaha zetu,mnajua kutucare sana ,hata tukiwakosea mara zote mmekuwa wakwanza kutusamehe,kwa kweli nyie ni maua ambayo kama isemavyo nyumba bila mwanamke basi sio nyumba.basi mjitahidi kubehave basi lol.
Kuna mtu anampa mwenzake dudu?
hahaaaaaaaaa ina maana hujui!!!!!!!!!!!!!!
Kuna mtu anampa mwenzake dudu?
hahaaaaaaaaa ina maana hujui!!!!!!!!!!!!!!
Aina gani?
Mende,nzi,siafu au nyuki????????
anajifanya eti hajui leo wakati tena ye ndo wa kwanza kuwapa wenzake!!
nyuki!! C unajua huyo anavyotemaga asali!!!
anatafuta ki-dateUmeona leo ijumaa ndio unaanza kujikomba,mbona j3 hukusema hivo?