INAUZWA Tunauza Simu za aina mbalimbali

Nakupa cm peke ake pamoja na warranty ya miezi 6
Bei ni 260,000 maongezi yapo msiogope[emoji28]
Biashara dukani hakuna janjajanja
[emoji625]Dar es salaam
Tupo mtaa wa aggrey na likoma
[emoji338]0628139218
 
Nitafutie s22+ yenye line 2
Au note 20+ kali sana
 
Google pixel 3a bei 260,000 Tu
Google pixel 3aXL BEI 320,000 tu
Simu only
Bei ni fixed
Warranty nakupa
[emoji338]0628139218
[emoji625]DAR ES SALAAM
 
Hivi yule aliye leta Uzi, alinunua simu, application jina Jiji,
Baada ya muda ikawa inapiga yenyewe 112
Na mlio wa king'ora!Mbona hakuleta mrejesho jamani?
Lakini kama una duka,pia unatoa risiti ni jambo jema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…