Tunauza nguo za kiume

poa nakutafuta nijionee. Ikiwa ukanjanja tena Mungu atakulaani.😀
 
Ungeweka na picha ingekuwa poa sana mkuu, mana wengine ni matomaso!
 
Kama hujui kitu nibora ukakaa kimya, hakuna kadeti ambayo haipauki... Tena hapa town na maji ya chumvi ndo balaaa ukijifanya unafua fua tuu imekwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Zote zinapauka ila zipo ambazo zinavumulia na kuchukua muda mrefu kupauka. Mimi nimevaa Jeep, Diesel, Paul smith, E spirit n.k. zote ni yale yale. Hata ufulie maji ya baridi.

Nafulia sabuni ya kipande kwa kugeuza nje ndani ila wapi.

Kuna jamaa yangu niligundua zake hazipauki hata kidogo. Ni Exposed. Toka na mimi nizinunue Januari hadi leo ziko vile vile (labda kupauka iwe kwa mbaaaali sana). Labda na wao walewe sifa au wabongo wagonge copy.

Binafsi sijui kuhusu Polo za jamaa yetu labda nazo zaweza kuwa hazipauki haraka.
 
Mkuu hizo Exposed unazo?
 
Mkuu umemtaja Paul Smith hapo huyo jamaa anachelewa kupauka sana. Nadhani hata Polo hamfikii. Nataka kununua tena Paul Smith lakini kila nikitafuta nakutana na Polo na ikizidi sana Billion sijui.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
So una maanisha Exposed hata Paul Smith hakamati kwa kuchelewa kupauka?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Duka linaitwaje nije nichukue Exposed hata moja nizione jamaa kazisifia sana Lp

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Bei gani izo
 
Wakati Niko la kwanza,niliwahi kusoma kitabu Cha wachina,Cha kiswahili lakini,ukitaka isipauke,dondoshea maji la limao wakati unafua
 
sure, yaani nimenunua kadeti kila design mpaka nikawa najiuliza nakosea wapi yaani ukifua mara 3 au 4 tayari.
Ungeniambia zamani ningekupa solution,unapofua mwagiamo vinegar kiasi,haitapauka kwa uharaka huo
 
Sawa ila usiongee uongo sasa kwamba unazo ambazo hazipauki
Kuwa mkweli tuu wala Sio lazima uandike unazo ambazo hazipauki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…