Kama hana nicheck PM niambie unatak ngapi na size ngapi?Una kadeti brand inayoitwa Exposed?
Sawa mkuuKam
Kama hana nicheck PM niambie unatak ngapi na size ngapi?
hamnunui mimi niwauzie?Tupo Kariakoo Mtaa wa Kongo na Aggrey.
Tunauza mashati ya kiume mikono mirefu na mifupi, Tisheti za form six, body, kadeti.
Bei zetu ni nafuu sana. Pi,a ukinunua kwa wingi utauziwa kwa bei ya jumla.
Karibuni dukani, pia mikoani tunatuma mzigo bila shida yoyote.
Shati mikono mirefu = 17,000
Shati mikono mifupi =16,000
Tisheti form six = 16,000
Tisheti body = 13,000
Kadeti = 22,000
Tupigie au WhatsApp kwa namba hizi: 0744575261
View attachment 1299070View attachment 1299072View attachment 1299073View attachment 1299075View attachment 1299077View attachment 1299078View attachment 1299079View attachment 1299080View attachment 1299082View attachment 1299083View attachment 1299084View attachment 1299085View attachment 1299086View attachment 1299081View attachment 1299074
Sent using Jamii Forums mobile app
Una kadeti brand inayoitwa Exposed?
Nakujibu PM mkuu.Mkuu hii brand ipoje
Huwa natuma kwa bus bila shida, tuwasiliane 0744575261Songea napataje
Mkuu hii brand ipoje
Kampuni ya fila kwenye t-shirt auKuna hizi kampuni ya Fila unazo?
Kama hujui kitu nibora ukakaa kimya, hakuna kadeti ambayo haipauki... Tena hapa town na maji ya chumvi ndo balaaa ukijifanya unafua fua tuu imekwishaHio Brandi inaitwa polo, ni kadeti Original, first quality, haipauki Wala kuchuja Kuna size 30- 40 karibu sana,..nicheki 0744575261
Sent using Jamii Forums mobile app
sure, yaani nimenunua kadeti kila design mpaka nikawa najiuliza nakosea wapi yaani ukifua mara 3 au 4 tayari.Kama hujui kitu nibora ukakaa kimya, hakuna kadeti ambayo haipauki... Tena hapa town na maji ya chumvi ndo balaaa ukijifanya unafua fua tuu imekwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kiasi Fulani upo sahihi boss hata mm nimevaa Sana kadeti zinazopauka, kupauka au kutopauka inategemea na kadeti husika ilijumuliwa kwa Bei gani,..najua ni ngumu kuamini Ila zipo kadeti ambazo hazipauki kabisa Bei yake ipo juu wengi huwa hatupo tayari kuilipaKama hujui kitu nibora ukakaa kimya, hakuna kadeti ambayo haipauki... Tena hapa town na maji ya chumvi ndo balaaa ukijifanya unafua fua tuu imekwisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe nlishauza kadeti ambazo sio za ubora Sana, baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wateja, nmebadili Aina ya bidhaa zangu, Sasa kadeti hizi na uhakika ni quality nzuri Sana, usishangazwe na Bei hii ukadhani kuwa zitakuwa ni zile zile za siku zote, ni kwamba nafanya hivi ili kupanua soko langusure, yaani nimenunua kadeti kila design mpaka nikawa najiuliza nakosea wapi yaani ukifua mara 3 au 4 tayari.