Mkuu mimi nna milioni 25 cash tufanye business.Salaam,
Kiwanja kipo Bunju B (upande wa kushoto ukiwa unaelekea bagamoyo)
kipo karibu na nyumba za TBA
Kina ukubwa wa sqm 1628
Kipo sehemu tambarare (angalia picha chini)
Kiwanja kina hati Maliki ya eneo.
Bei : 35m
For more info
contact: 0756 832833
For only serious client
ATTACH=full]931232[/ATTACH]View attachment 931238View attachment 931236View attachment 931237
Inaonekana wewe ni mtu unaemcha Mungu. Basi nitakutafuta uniuzie hicho kiwanja. Nikinunua kitu kwa mtu anayemcha Mungu huwa ninakuwa na amani.Kwenye kununua assets yeyote ile ni lazima wewe uwe wa kwanza kujiridhisha kupitia sehemu husika.
Kuna serikali ya mtaa, manispaa na wizara ardhi ni lazima upitie kujua uhalali wa eneo husika na uzuri eneo litakua na enough details kwa kuwa liko surveyed.
Kwanin utapeliwa na eneo husika lina umiliki halali?
Maeneo yanayozunguka yote yamejengwa na wakazi wapo napo ni sehemu sahihi kujiridhisha kabla hata ya kwenda serikali ya mtaa na hatimaye manispaa na wizara ya ardhi.
Kuwa na amani kwanza, nahisi nafsi yako imekosa imani.
Stay blessed.
Oh pole. Kama umekwisha kiuza kiwanja mimi sio Mwana. Na kama ni vile viwanja vya miradi hamna kilichofikia milioni kumi. Ni ushauri tu I wish you all the best. Angalia usije uza kwa Tsh Milioni 10. Chukua tahadhari sasa hivi!Salaam,
Unapewa= ni kama bure
Ndugu ardhi huwa haishuki thamani na zaidi inazidi kuwa scarce.
Hata kama kilinunuliwa kwa 8-10m miaka kadhaa iliyopita kumbuka bado ilikua ni squatters areas.
Plot mpaka kuwa na umiliki halali (full titled) kuna gharama zinahitajika pia kumbuka kuna kodi ya ardhi kila mwaka inalipiwa.
Ulivyotamka unapewa 20m ni kama bure vile.
Kimfaacho mtu chake.
Stay blessed.
Mkuu viwanja bunju B Huwezi pata chini ya ml 30 bro angu kanunua karibu na T B A tena kalia sana ndo kapata kwa 30 na hapo ni mwaka juziOh pole. Kama umekwisha kiuza kiwanja mimi sio Mwana. Na kama ni vile viwanja vya miradi hamna kilichofikia milioni kumi. Ni ushauri tu I wish you all the best. Angalia usije uza kwa Tsh Milioni 10. Chukua tahadhari sasa hivi!
Huyo atakuwa dalaliUnapewa 20 Milion unaktaa hizi zama utakuja kujuta baadae. We ulikipata kwa Shilingi ngapi tuanzie hapo!
Nakushauri pokea. Juzi tumeuza 1600sqm kwa 14m Bunju BOffer nzuri!
Ila kulingana na plot size na location na pia ni full titled. Bado uko chini
Ukiweza kujivuta kidogo tuwasiliane.
Kila mtu anauza kwasababu zake, na pia huwezi kumpangia mtu bei kwenye Mali yake na akiona inamlipa atauza hata 10m.
Nilikua kimya nisikujibu lkn umeharibu fani yangu ya hesab ngoja nijib.Una mawazo finyu sana, broker akipewa kazi ya kuuza NYUMBA au kiwanja kuna kuwa na terms and agreement tayari na muuzaji.
Kama wamekubaliana ni 5% ya mauzo , muuzaji hata akiuza laki 5 atakupa stahiki yako ya makubaliano.
Kwa mtazamo wako unahisi pengine dalali kaongeza bei kwenye KIWANJA?
Je ukiongeza bei hiyo pesa unaipataje na wakati mmeshakubaliana kwenye percentage?
Mwenye Mali anakupa muongozo tu wa kuuza, Bei anayokupa hata ukizidisha ni kazi bure kwa maana nyinyi mmeshakubaliana terms tayari.
zaidi ukiongeza bei utakwamisha biashara na utakosa vyote.
Utakuja mili tanozUnapewa 20 Milion unaktaa hizi zama utakuja kujuta baadae. We ulikipata kwa Shilingi ngapi tuanzie hapo!