the artumas group incorporation, a mtwara-based gas exploring company, has been given the go ahead by the government to export to kenya.
source: East africa (kenya)
That is great, we are going to be the Russia of East Africa. It is also good stick in our hand to tame all neighbours like what is doing Russia to earn political ends in eastern europe.
Good pase.
Bravo TZ.
Good move lakini tatizo ni transparency na accountability. Kuna mafisadi
wanashangilia pande zote mbili za border.
funny thing is that u will export the gas to kenya and then u will import the same gas from kenya that has been processed into a different product.
i remember there were days that kenya used to export coffee and tea to the west and we would import the processed version of the same coffee. 🙁
good thing is that atleast the money will be circulating in the EAC which is a benefit.
Hawajui kama kuuza katika soko la ndani vilevile unapata pesa? wanafikiri pesa ni kufanya export tu?Wajemeni! Wajinga ndiyo waliwao. Kila kukicha ni madudu ya kila aina. Hivi nchi hii lini tutajaza akili. Gas haijanufaisha Wadanganyika, leo hii serikali inatoa idhini eti majadiliano ya kuuziana gas yaendelee. Mungu wangu, hivi huyo aliyeturoga ameshakufa nini? Misitu inafyekwa kila kukicha kwa ajili ya kuni na mkaa. Badala ya kuhamasisha wadanganyika watumie gas kwa matumizi mbalimbali, eti kuuza gas Kenya ndio kipaumbele cha serikali ya wadanganyika. Masikini weee hivi tutaponea wapi?
Wts gud ma jamii peeps, wht amazes me with us EAfricans is how we concentrate so much with wht our pple own, hve u ever thought of wht you hve as an individual? eff the gvt and whatever, what counts in life is hw much bread we have at the end of the day, eff gud governance if I dnt have enuf money to spend or fuel my car, eff corruption if my family is sleeping hungry. HUSTLE BY ANY MEANS MY BROTHERS. Merry Xmass le me get back to ma drinks n drugs.
You are just talking of me, myself and I, typical kenyans style! aagh...
Hii deal wala wakenya hamtafaidi kama hatutashirikiana kuwaadhibu mafisadi pande zote...
Tumain, when you say that the deal wont benefit the common mwananchi you sound somehow naieve, i dont know about you but i dont loose sleep thinking of how many of the gvt deals will benefit me personally. to me the role of the gvt is to provide security and enough infrastructure to make it possible for me to paper chase. on the other hand am sure you want your gvt to give you bread and milk every morning, it cant work thatway, you have to grow your wings, spread them and atleast learn how to fly.