Tunaposema CCM ni ilele tunamaanisha

Nikwamba hawatabadilika. Ni vibaka walewale

Mkuu umetumia neno kali sana,inaonesha ni jinsi gani ulivyo na hasira na hawa jamaaaa,basi usifanye kosa kesho kutwaaa mkuu.kila la heriii
 

kuna mtu aliniambia ya kuwa hawa jamaa ni jeuri tuu kama wanaweza kuagiza magari ya polisi 700,kumbe hata kuagiza ambulance(gari za wagonjwa inawekana tuu).tuwe makini october 25
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…