Jamani ni muhimu tufahamu CV,ya huyu mpambanaji wa taifa letu pendwa. Maana amejilupwa sana.
Alikosoma yeye na lisu ndo tuanze kupeleka wajukuu zetu huko. Elimu yake? Exposure yake? Kabila lake ? Ni kwa nia njema tu .
Mungu mbariki pole pole, na inua wengine wakinga pole pole wengi zaidi ikikupendeza Ee Mungu !
Taifa kwanza vyama badae.
Mungu ibariki Tanzania.