Tunang'arisha Masinki ya choo Mbeya

Tunang'arisha Masinki ya choo Mbeya

chaz beezz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
217
Reaction score
875
Tunasafisha na kung'arisha masink ya choo pamoja na marumaru zenye uchafu sugu zilizofubaa Yaani kushindikana kabisa na kurudi kwenye Hali yake ya upya kwa kutumia dawa na vifaa maalum.

Sinki la choo cha kuchuchumaa Sh- -5000
sinki la choo cha kukaa Sh- 8000

tiles Kuanzia Sh -10000 Inategemea na ukubwa wa eneo
kusafisha choo kizima chenye sink moja la kuchuchumaa na tiles za chini na ukutani Sh 15000

 Kwa wale wanaohitaji dawa pekee ukihitaji dawa Lita moja Sh 7000
inafanya kazi vizuri sana.

Huna haja ya kubadir sinki jipya la choo chako,dawa hii inarudisha upya sinki lako na kufanya choo kipendeze kwa usafi.

Kwa mawasiliano piga :0674 576 217

0752803909
 
Kama sink la choo ni moja, na hakuna tiles, pia umbali kutoka uyole mpaka site ni 6000, Je bei itakuwa hiyohiyo 5000!? Au usafiri ni juu yangu!?
 
Nawakubali sanaaaa, mnajua kuifanya kazi vzr. God bless you
 
Kama sink la choo ni moja, na hakuna tiles, pia umbali kutoka uyole mpaka site ni 6000, Je bei itakuwa hiyohiyo 5000!? Au usafiri ni juu yangu!?
hapo usafir juu yak kaka
 
Back
Top Bottom