Mkuu. umenikumbusha wimbo wa bongo F, usemao "kazi yangu ya dukani ohh oh oh yaniweka matataniii eh eh....
Lakini anyway ni fursa nzuri kwa anayehitaji kazi husika, basi akina dada changamkieni tenda.
Ila kazi ya kuuza duka inahitaji uaminifu sana maana ukiwa mkono mrefu huchelewi kupigwa chini.Na tatizo kwa wabongo wengi neno uaminifu ni msamiati mgumu, pia kauli nzuri kwa wateja ni tatizo sana kwetu wabongo, eti unakuta muuza duka anasoma gazeti tena la udaku wala hata karibu hakupi, tena nyie akina Dada ndo mmezidi mapozi sana.
​