Ndo maana Wazee wanatongoza mabinti (watoto) wa Wazee wenzake na kuwamega
Hakuna aibu hata kidogo:A S-alert1:
mmmhhh yaani ni kweli kabisa uliyosema hapo juu..
lakini yanini ujitafutie balaa.. kwa kumgusa au kumkemea mtoto wa mtu...
kwanza huyo mtoto atakutukana na mama akitoka huko ndani ndo yatakuishia shingoni....
siku hizi ni kila mtu na chake...
Ukitaka kesi gusa mtoto wa mtu sasa hivi uone kitakachokupata hata kumwambia wee acha kuchezea mchanga au maji machafu ni issue utavaliwa kibwebwe na mama yake mpaka utashangaa
jamani Dena ndo hicho nachosikitika unajua hata mimi na watoto unapokuta mzazi mpaka mwalimu wa mtoto hutaki amkemee mwanao tunategemea nini kutoka kwa watoto hawa
wanajamvi kuna jambo limekuwa likisumbua akili yangu muda wote hasa nikitizama watoto tuliozaa huwa nawaza mambo mengi sana.nakumbuka hapo nyuma tulipokuwa tunakua wengi watakuwa mashahidi kila mtu mzima alichukua jukumu la kulea mtoto wa mwenzake bila kuangalia ni wa nani leo hii ambapo muda mwingi hatupo majumbani ukikuta mwanao kachapwa na jirani au kakaripiwa unaanza kukuna mengine mengi naamini mtayaweka humu tusisahau hata kama utawalea kwa maadili gani watoto wako kama watazungukwa na uchafu kila mahali itakupa wakati mgumu sana kwenye malezi tupende watoto wa wenzetu na tuwatazame kwa jicho lile lile tunalowapa watoto wetu naamini tutatengeneza kizazi bora na sisi sio kuwa maangamizi wa malaika hawa wa malai
"AN INDIVIDUAL IS THE BEST JUDGE OF HIS OWN INTEREST"( GEREMY BENTHAM) haya mambo ya kumparamia mtoto wa watu na kumkanya jamani kwa dunia ya leo ambapo maisha na utaratibu wa mtu kuishi yeye na kizazi chake ni mali yake binafsi hauwezekani.
Enzi za zamani wajibu (responsibility) wa mtu ndio uliokuwa unatawala kuliko haki ya mtu mwingine, na ndio maana jirani kukanya mtoto wa mwenzie alijua kuwa anatimiza wajibu wake kama mzazi na mtoto hakuwa na naki ya kuibishia adhabu hiyo, leo neno haki(right) limepiku wajibu, kumbuka leo hii suala la kumuadhib mtoto ni haki ya mzazi wake, wewe ni kuripoti tu juu ya kosa la mtoto kwa mzazi husika, huna haki japo unalimited responsibility juu ya mtoto wa mwenzio, sasa tunaishi kiubinafsi zaid(individualism) tumeyakubali mawazo ya Bentham na ndiyo yanatukeketa
Lakini tusisahau maisha yetu ya sasa muda mwingi tunakuwa mbali na familia tusipokubali watoto wetu waonywe na hawa tunawaachia tunajenga au kubomoa
wanajamvi kuna jambo limekuwa likisumbua akili yangu muda wote hasa nikitizama watoto tuliozaa huwa nawaza mambo mengi sana.nakumbuka hapo nyuma tulipokuwa tunakua wengi watakuwa mashahidi kila mtu mzima alichukua jukumu la kulea mtoto wa mwenzake bila kuangalia ni wa nani leo hii ambapo muda mwingi hatupo majumbani ukikuta mwanao kachapwa na jirani au kakaripiwa unaanza kukuna mengine mengi naamini mtayaweka humu tusisahau hata kama utawalea kwa maadili gani watoto wako kama watazungukwa na uchafu kila mahali itakupa wakati mgumu sana kwenye malezi tupende watoto wa wenzetu na tuwatazame kwa jicho lile lile tunalowapa watoto wetu naamini tutatengeneza kizazi bora na sisi sio kuwa maangamizi wa malaika hawa wa malai