saidy17 Member Joined Jan 19, 2017 Posts 37 Reaction score 4 Apr 8, 2017 #1 Tunachmba visima kwa bei nafuu maeneo ya dar es salaam kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba zifuatazo 0656535266
Tunachmba visima kwa bei nafuu maeneo ya dar es salaam kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba zifuatazo 0656535266
T Ti Go JF-Expert Member Joined Jun 28, 2012 Posts 1,062 Reaction score 1,087 Apr 8, 2017 #2 Hamna wawakilishi mwanza?
saidy17 Member Joined Jan 19, 2017 Posts 37 Reaction score 4 Apr 8, 2017 Thread starter #3 Ti Go said: Hamna wawakilishi mwanza? Click to expand... Hatuna mkuu
General Mangi JF-Expert Member Joined Dec 21, 2013 Posts 15,316 Reaction score 23,183 Apr 8, 2017 #4 saidy17 said: Hatuna mkuu Click to expand... Nataka kuchimba kisima cha umwagiliaji pale bagaboyo ambacho kitatukia pump. Kwa ufupi mnaweza nipa gharama zake? Je kuna pump ambayo inaweza endeshwa na sola? Nipen gharama ya kuchimba, bombaa na pump yenye nguvu, tuonge biashara
saidy17 said: Hatuna mkuu Click to expand... Nataka kuchimba kisima cha umwagiliaji pale bagaboyo ambacho kitatukia pump. Kwa ufupi mnaweza nipa gharama zake? Je kuna pump ambayo inaweza endeshwa na sola? Nipen gharama ya kuchimba, bombaa na pump yenye nguvu, tuonge biashara
kuduman201036 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2015 Posts 4,058 Reaction score 2,183 Apr 11, 2017 #5 Weka na bei na mita kabisaa ili tukipiga Sim tujue tunaanzia wap!!!
saidy17 Member Joined Jan 19, 2017 Posts 37 Reaction score 4 Apr 11, 2017 Thread starter #6 kuduman201036 said: Weka na bei na mita kabisaa ili tukipiga Sim tujue tunaanzia wap!!! Click to expand... Hatuchimbi kwa mita boss, sisi huwa tunapiga mahesabu ya jumla inamaana mpka tujue ni wap, ili tujue tunachimba mita ngapi na tuje kufanya kazi
kuduman201036 said: Weka na bei na mita kabisaa ili tukipiga Sim tujue tunaanzia wap!!! Click to expand... Hatuchimbi kwa mita boss, sisi huwa tunapiga mahesabu ya jumla inamaana mpka tujue ni wap, ili tujue tunachimba mita ngapi na tuje kufanya kazi
M mbingunikwetu JF-Expert Member Joined Feb 17, 2015 Posts 13,990 Reaction score 18,710 Apr 11, 2017 #7 saidy17 said: Hatuchimbi kwa mita boss, sisi huwa tunapiga mahesabu ya jumla inamaana mpka tujue ni wap, ili tujue tunachimba mita ngapi na tuje kufanya kazi Click to expand... Weka bei ya wastani kutokana na uzoefu wenu!
saidy17 said: Hatuchimbi kwa mita boss, sisi huwa tunapiga mahesabu ya jumla inamaana mpka tujue ni wap, ili tujue tunachimba mita ngapi na tuje kufanya kazi Click to expand... Weka bei ya wastani kutokana na uzoefu wenu!
saidy17 Member Joined Jan 19, 2017 Posts 37 Reaction score 4 Apr 11, 2017 Thread starter #8 mbingunikwetu said: Weka bei ya wastani kutokana na uzoefu wenu! Click to expand... Million 4