..mbona katika kundi la wanasiasa ambao mwandishi anaodai ni wasafi kuna waliozaa nje ya ndoa kama alivyofanya Sofia Simba?
..makala ya mwandishi ni ya hovyo-hovyo kwasababu hakufanya utafiti wa kutosha kuthibitisha madai yake.
.mwandishi makini anayefanya utafiti wa kutosha hawezi kumuweka Samuel Sitta ktk kundi la wanasiasa wasafi wa kupigiwa mfano hata siku moja. Sitta amefanya madudu mengi nchi hii tangu alipokuwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA, kituo cha uwekezaji TIC, na majuzi kujenga ofisi ya mbunge kutumia mamilioni ya fedha wakati wananchi wake hawana zahanati.