Mwambie aache kuwa na mahusiano kwa ahadi za ndoa, siku hizi hadi watoto wamiaka 8 wanadanganyana kuoana, sembuse wanaume watu wazima ambao wanaotoa ahadi za kuoa kwa wanawake hata11 lakini mwisho wa siku anaoa mmoja, Mwambie jambo la muhimu ni kulinda ngome osio kubweteka kisa ana ahadi ya ndoa. Ajiongeze mwenyewe mengine