Tumekosana na mke wangu muda huu, mchana huu tumeshinda njaa kwa ujinga wake

Wapumbavu mmekutana ila we ni mpumbavu zaidi,mwanaume ukishatoa huduma ya chakula mda ukifika unatengewa chakula unakula bila kuuliza uliza vipande vya nyama ,inaonekana hata hela ya matumizi humwachii kwa ajili ya uchoyo hadi unaenda kununua robo kilo mwenyewe na unahakikisha mpaka mapishi.
 
Wapumbavu mmekutana ila we ni mpumbavu zaidi,mwanaume ukishatoa huduma ya chakula mda ukifika unatengewa chakula unakula bila kuuliza uliza vipande vya nyama ,inaonekana hata hela ya matumizi humwachii kwa ajili ya uchoyo hadi unaenda kununua robo kilo mwenyewe na unahakikisha mpaka mapishi.
Sasa kwa nini nisihakikishe? Kila kitu kina utaratibu maalumu, hatuendi endi tu kama wapumbavu!
 
Mungu wangu..!!.. khaaa!!
Yaani mnagombania nyama! Nafikiri tatizo kubwa ni umaskini. UMASKINI UKO RESPONSIBLE KWA MATATIZO MENGI YA KIFAMILIA. sasa mkipata watoto huo mgao wa robo kilo utakwendaji! KAMA NDOA YENU ITAVUNJIKA SABABU KUU ITAKUWA UMASKINI uliokithiri! You may also need mental health check up. Something is not right with you two,
 
Back
Top Bottom