Japokuwa nilimkubali sana Drogba, ukweli ni kwamba Eto’o yupo juu kidogo. Alitisha sana huko Inter Milan na Barcelona na uzuri zaidi akaja Chelsea na kuendelea kutupia goals kwenye mechi muhimu. Eto’o keperform vizuri kwenye ligi kuu tatu.
Wewe ndio kocha, kikosi chako ushapanga bado nafasi moja tu ya straika, unae Samuel Eto'o na Didier Drogba yupi unampa nafasi?
Twende kazi... View attachment 1498921