Tukio jipya duniani

pipikijiti

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2017
Posts
309
Reaction score
407

Alafu inasemekana ngono inayofanywa kawaida ya dume la simba na jike la simba uchukua muda mfupi mpaka kumaliza yani ni chini ya dakika moja lakini kwa ngono iliyofanywa na simba hawa madume ilichukua zaidi ya dakika moja haijafahamika ni kwanini,,,,


A joke: mwambieni diamond abadili jina,simba wamemuaibisha
 
Hii ni balaaa aiseeee hata simba wameanza kupeana mambo ya uani.
 
Hebu google gay animal utaona sio hao tu
 
Hizi zinatengenezwa makusudi kutangaza upuuzi wao.
 
Kwa hiyo?
 
Labda walinogewa
 
Matopeni nao,Simba wamewaaibisha,Simba mmeaibisha.
 
Mbona nilishashuhudia Zanzibar uwanja wa mpira karibu na darajani mbuzi mabeberu walikua wanapelekeshana wao kwa wao.
 
Hao watakuwa wameimportiwa kutoka ulaya au USA. Africa hatuna utamaduni huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…